Featured

Loading...


Kingunge Kumnadi LOWASSA jijini Arusha Leo.....Aomba Dakika 40 za Kuichana CCM


Mwanasiasa mkongwe na mmoja kati ya waasisi wa Tanu na CCM aliyetangaza kuachana na chama hicho hivi karibuni, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru amepanga kupanda rasmi kwenye jukwaa la Ukawa, leo jijini Arusha kumnadi mgombea wa Chadema, Edward Lowassa.
 
Taarifa za Kingunge kumnadi rasmi Lowassa leo, zimethibitishwa na meneja wa kampeni wa Chadema, John Mrema.
 
“Kesho (Leo) Kingunge atangumza na watanzania kueleza kile anachokiamini, anataka mabadiliko, cha muhimu ni ujumbe wake,” Mrema alikaririwa  jana

Mzee  Kingunge  alitangaza  kuachana  na  CCM  kwa   madai  kuwa  chama  hicho  kimepoteza  mwelekeo.
 
Alisema  utaratibu  uliotumiwa  kumpata  mgombea  Urais  wa  chama  hicho  kupitia  vikao  vya  kamati  ya  maadaili  na  usalama  vilienda  kinyume  na  taratibu  na  katiba  ya  chama  hicho  kwa  maslahi  ya  viongozi  wachache.

Mwanasiasa  huyo  mkongwe  alisema  hatajiunga  na  chama  chochote  cha siasa  kwa  sasa  lakini  atabaki  kuwa  upande  wa  wale  wanaotaka  mabadiliko  ya  kuiondoa  madarakani  serikali  ya  CCM

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top