Magufuli akiwa kwenye moja ya kampeni zake.
VITA vya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadaye mwezi huu
inazidi kukolea na kwa mujibu wa habari kutoka kambi mbili pinzani za
Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), leo
vyama hivyo vinaanza ngwe ya lala salama.
Chanzo cha habari kilicho karibu na timu ya kampeni ya CCM, kimesema
chama chao ndiyo kama kinaanza rasmi shughuli hiyo leo, kwani
kinategemewa kuanza kutumia ‘silaha’ nzito ili kuhakikisha
kinausambaratisha upinzani.

“Jamaa
wana helikopta zipatazo tano ambazo zimegawanywa kwa wana kamati
kushambulia maeneo mengi kadiri wanavyoweza, lengo ni kuyafikia maeneo
ya ndani na ambayo kidogo yanakuwa vigumu kupitika kwa njia ya barabara,
katika siku hizi zilizobaki, kila eneo litafikiwa,” kilisema chanzo
hicho.
Wakati kukiwa na taarifa hizo kutoka chama tawala, Ukawa nao
wanasemekana kuandaa ‘majeshi’ yao ya maangamizi kwa kutumia jumla ya
helikopta saba ambazo zitaanza kazi ya anga kwa anga ili kuwafikia
wapiga kura katika hatua hii ya lala salama.
“Ni kweli, zimetayarishwa helikopta saba zitakazoanza zoezi kali la
kutafuta kura katika hatua za lala salama, Hizi zimegawanywa kwa
makamanda tofauti wa kuongoza mapambano, nina uhakika Lema (Godbless,
Arusha) atakuwa nayo moja, Wenje (Ezekiel, Nyamagana), Msigwa (Mchungaji
Peter, Iringa), Lissu (Tundu, Singida) kila mmoja atakuwa na chopa ya
‘kumwaga sumu’ kila kona ya Tanzania,” alisema kiongozi mmoja wa umoja
huo, aliyeomba hifadhi ya jina lake kwa kuwa siyo msemaji.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
SIASA
on Thursday, 1 October 2015
Post a Comment