Mchezaji
Mbwana Samatta aliyejishindia Tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika kwa
wachezaji wa Ndani nchini Nigeria amezawadiwa na serikali kiwanja
kilichopo Kigamboni jijini Dar es salaam na fedha taslimu ambazo kiasi
chake hakijafahamika.
Hayo
yamesemwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh.Lukuvi
anayeonekana katika picha katika hafla iliyofanyika kwenye hoteli ya
Hyyat Regency jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na viongozi kadhaa wa
serikali.
Baadhi
ya viongozi waliohudhuria katika hafla hiyo ni Waziri wa Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye na Katibu Mkuu wa Wizara
hiyo Profesa Elisante Ole Gabriel na viongozi wengine wengi wa serikali
na wanamichezo.
Mbwana
Samatta aliyekuwa akicheza mpira wa kulipwa katika timu ya TP Mazembe
ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inayomilikiwa na tajiri wa madini
na aliyewahi kuwa Gavana wa jimbo la Katanga nchini humo Moise Katumbi
anatarajiwa kujiunga na timu ya KRC Genki ya Belgium barani ulaya.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
MICHEZO
on Wednesday, 13 January 2016
Post a Comment