UMOJA
wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), umekitaka chama hicho kumvua
uanachama Rais mstaafu wa Zanzibar Dk Aman Abeid Karume.
Kauli
hiyo ilitolewa jana katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar na
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Sadifa Juma Khamis wakati wa kilele cha
matembezi ya vijana wa umoja huo kuadhimisha miaka 52 ya Mapinduzi.
Alimshushia
tuhuma nzito mstaafu huyo kuwa anashirikiana na wapinzani kukihujumu
chama hicho kikongwe nchini, na kwamba asipofukuzwa umoja huo utatumia
njia zingine ambazo hakuziweka wazi.
Sadifa
alionya kwamba Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar si mali wala miliki ya
mtu kwani Wazanzibar wote wana haki ya kushiriki kuyaenzi kwa vitendo
kutokana na historia yake.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
SIASA
on Tuesday, 12 January 2016
Post a Comment