Featured

Loading...


Bilal mgeni rasmi sherehe za Idd leo


BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limetangaza kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya sherehe za Idd El Hajj leo yanayofanyika kitaifa mkoani Mara ni Makamu wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal.

Bakwata ilieleza jana kuwa sherehe hizo zitafanyika katika mji wa Musoma na Idd itaswaliwa kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Mkendo, saa mbili asubuhi na Baraza la Idd saa nane mchana.

Sikukuu ya Idd el Hajj au Idd el-Adha inaadhimishwa baada ya kukamilika kwa ibada ya Hija, moja ya nguzo tano za dini ya Kiislamu ambapo kwa sasa mahujaji wako katika ibada hiyo nchini Saudi Arabia.

Mjini Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Baraza la Idd, litakalofanyika Mkokotoni mkoa wa Kaskazini Unguja.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibar, Abubakar Khamis Bakary, swala ya Idd inatazamiwa kufanyika kitaifa katika Msikiti wa Mkokotoni na Baraza la Idd kufanyika katika Chuo cha Amali, Mkokotoni Unguja.

“Maandalizi ya swala ya Eid na Baraza la Eid yamekamilika ambapo kitaifa utafanyika katika Mkoa wa Kaskazini Unguja, Mkokotoni,” alisema Bakary.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top