Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM,
Januari Makamba, akizungumza na wandishi wa habari katika ofisi ndogo
makao mkuu Mtaa wa Lumumba jijini Dar.
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakimsikiliza Makamba.
Wanahabari wakichukua matukio.
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)
January Makamba, ambaye pia ni mjumbe wa kamati ya kampeni CCM,
ameshutumu kauli ya Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari MCT, Kajubi
Mukajanga, kuwa Chama Cha Mapinduzi hakijathitisha kushiriki mdahalo
uliondaliwa kwa ajili ya wagombea nafasi ya urais.
Kiongozi huyo wa juu kisiasa ndani ya CCM ameyasema hayo leo
alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi ndogo ya makao
makuu ya CCM yaliyoko jijini Dar es Salam, kuwa chama chao kilipokea
mwaliko wa MCT na kujibu kwa barua Septemba 13 mwaka huu.
Alifafanua kuwa barua hiyo kutoka CCM ilijibiwa kwa kumbukumbu
CMM/OND/M/190/132 na kusainiwa na msaidizi wa katibu mkuu , Stephen
Msami, hivyo barua hiyo ikapelekwa kwa ‘dispatch’ ambayo nakala yake
hadi sasa wanayo.
Makamba alisema kuwa baada ya hatua hiyo, Katibu Mkuu wa CCM,
Abdulrahaman Kinana alifanya kikao cha pamoja na wawakilishi wa MCT
kwenye ofisi ndogo za Lumumba ili kutoa maoni ya CCM kuhusu mdahalo huo.
Ameongeza kuwa CCM inasisitiza kwamba John Pombe Magufuli ambaye ni
mgombea nafasi ya urais alikubali kushiriki mdahalo wa wagombea wote
hasa vyama vikuu katika nafasi ya urais.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
SIASA on Wednesday, 23 September 2015
Post a Comment