MCHEKESHAJI wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya ‘Masanja
Mkandamizaji’, amewataka wanaomtuhumu kwamba anatumia tiketi ya
uchungaji kama njia ya kujiingizia kipato wajaribu kazi hiyo wataona
malipo yake.
Aliongeza kuwa uchungaji ni wito na siyo kazi, pia uchekeshaji ni ajira
yake, hivyo hawezi kuacha uchekeshaji kwa sababu ya uchungaji kwa kuwa
hakiuki miiko ya uchungaji.
“Eti wanasema uchungaji na siasa wapi na wapi, mbona kuna chama cha
siasa kimojawapo mgombea wao wa urais ameletwa na mchungaji lakini
kwangu ndiyo siyo sawa? Anayedhani uchungaji ni dili, ajaribu aone kama
hajatoka majipu kama Ayubu,” alieleza Masanja, alipokuwa katika moja ya
mikutano ya kampeni ya kisiasa alipoalikwa na Chama Cha Mapinduzi.
Chanzo: Mtanzania
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Thursday, 24 September 2015
Post a Comment