Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida, ACP Thobias Sedoyeka.
Vipande viwili vya fuvu la binadamu.
Chupa tatu za mafuta ya simba alizokutwa nazo mtuhumiwa.
Vipande vya ngozi ya simba
JESHI la polisi mkoani Singida
linamshikilia mkazi moja wa Kijiji cha Itumba, wilaya ya Igunga, mkoani
Tabora kwa tuhuma za kukutwa na viungo vya binadamu na nyara za
serikali.
Akizungumza na waandishi wa habari,
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida, ACP Thobias Sedoyeka,
amemtaja mtuhumiwa kuwa ni Magida Bundala aliyekamatwa akitoka mkoani
Tabora kuja Singida kusalimia ndugu zake ambao walikuwa wamewekwa
mahabusu katika Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ikungi.
Kamanda Sedoyeka alisema walimkamata
mtuhumiwa huyo baada ya askari kumtilia mashaka na kuamua kumkagua
wakati akisubiri kuwasalimia ndugu zake ambao ni mahabusu alipokutwa na
vipande viwili vya fuvu la binadamu, ngozi ya chatu, vipande vya ngozi
ya simba, pembe ambayo haijajulikana kuwa ni ya mnyama gani na chupa
tatu za mafuta ya simba.
Wakazi wa Manispaa ya Singida wameliomba
jeshi la polisi kuhakikisha linamfuatilia mtuhumiwa huyo ili kubaini
mtandao mzima kwa sababu unaendesha shughuli zao kutokana imani potofu
ikiwa ni pamoja kupata madaraka, jambo ambalo husababisha vifo kwa
binadamu wakiwemo walemavu wa ngozi (albino).
CHANZO: IVT
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Thursday, 24 September 2015
Post a Comment