Featured

Loading...


AKAMATWA NA VIUNGO VYA BINADAMU, NYARA ZA SERIKALI SINGIDA

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida,  ACP Thobias Sedoyeka.Vipande viwili vya fuvu la binadamu.Chupa tatu za mafuta ya simba alizokutwa nazo mtuhumiwa.
Vipande vya ngozi ya simba
JESHI la polisi mkoani Singida linamshikilia mkazi moja wa Kijiji cha Itumba, wilaya ya Igunga, mkoani Tabora kwa tuhuma za kukutwa na viungo vya binadamu na nyara za serikali.
Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida,  ACP Thobias Sedoyeka, amemtaja mtuhumiwa kuwa ni  Magida Bundala aliyekamatwa akitoka mkoani Tabora kuja Singida kusalimia ndugu zake ambao walikuwa wamewekwa mahabusu katika Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ikungi.
Kamanda Sedoyeka alisema walimkamata mtuhumiwa huyo baada ya askari kumtilia mashaka na kuamua kumkagua wakati akisubiri kuwasalimia ndugu zake ambao ni mahabusu alipokutwa na vipande viwili vya fuvu la binadamu, ngozi ya chatu, vipande vya ngozi ya simba, pembe ambayo haijajulikana kuwa ni ya mnyama gani na chupa tatu za mafuta ya simba.
Wakazi wa Manispaa ya Singida wameliomba jeshi la polisi kuhakikisha linamfuatilia mtuhumiwa huyo ili kubaini mtandao mzima kwa sababu unaendesha shughuli zao kutokana imani potofu ikiwa ni pamoja kupata madaraka, jambo ambalo husababisha vifo kwa binadamu wakiwemo walemavu wa ngozi (albino).
CHANZO: IVT

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top