CHAMA
cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetuma salamu za rambirambi
kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wake wa Viti Maalum, Leticia Nyerere
kilichotokea juzi nchini Marekani.
Leticia
alifariki dunia katika hospitali ya Doctors Community iliyopo Lan ham,
Maryland Jumapili saa 2 usiku wa saa za Afrika Mashariki alikokuwa
amelazwa kwa matibabu.
Taarifa
ya Chadema iliyotolewa na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa
chama hicho, Tumaini Makene ilisema kuwa chama hicho kimepokea kwa
masikitiko makubwa msiba wa Leticia Nyerere uliotokea nchini Marekani.
“Tunatoa
pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki katika wakati huu mgumu wa
kuondokewa na mpendwa wao, Mwenyezi Mungu awatie moyo wa ujasiri na
subira katika wakati huu mgumu wa majonzi ya msiba huo,” ilisema sehemu ya taarifa hiyo ya Makene.
Makene
alisema Chadema watamkumbuka Leticia kwa mchango wake na ushiriki wake
wakati wote alipokuwa mwanachama wao na akiwa miongoni mwa watu
waliopata fursa za kuwa wabunge kupitia Chadema.
Msemaji
wa familia ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku juzi alimueleza Rais
Magufuli kuwa familia inaendelea na taratibu za kuusafirisha mwili wa
marehemu kutoka nchini Marekani kuurejesha nyumbani kwa maziko.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
TANZIA
on Tuesday, 12 January 2016
Post a Comment