MAHAKAMA
Kuu Kanda ya Dodoma imefutilia mbali kesi ya uchaguzi iliyofunguliwa na
mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Jonathan Njau kupinga ushindi wa
Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lisu (CHADEMA).
Katika madai yake ya msingi, Njau alikuwa akipinga matokeo na kutaka kura kuhesabiwa upya.
Shauri
hilo lilikuwa mbele ya Jaji Berkel Sehel ambapo mgombea wa ubunge
kupitia chama cha Mapinduzi CCM Jonathan Njau alishindwa kwenye uchaguzi
kwenye jimbo hilo mwaka 2010 na 2015.
Njau Aliwasilisha ombi mahakamani la kutaka kesi hiyo kufutwa kwani hana haja ya kuendelea na shauri hilo.
Awali
mlalamikaji aliwahi kupeleka mahakamani mara mbili maombi ya ombi la
kusamehewa kwa gharama za kesi kiasi cha milioni 15 lakini maombi hayo
yalitupwa
Lisu amesema Mahakama kuu ilishatamka mwaka 2010 kuwa kesi za uchaguzi si za kuendea kwa papara bila umakini wowote.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Thursday, 21 January 2016
Post a Comment