Baraza
la Mitihani la Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya mitihani ya
kujipima ya darasa la nne huku matokeo hayo yakionyesha wanafunzi wengi
wamefeli katika somo la Kiingereza kwa asilimia 65.67 katika mitihani
hiyo iliyofanyika mwishoni 2015.
Akitangaza
matokeo hayo leo Jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa Baraza hilo
Dkt. Charles Msonde amesema juhudi za makusudi zinahitajika katika
kuboresha mazingira ya ufundishaji na ujifunzia ili kuboresha kiwango
cha ufaulu.
Jumla
ya wanafunzi 869,057 kati ya wanafunzi 977,886 sawa na asilimia 88.87
waliofanya upimaji wamepata alama katika madaraja ya A,B,C,na D.
Wanafunzi 108,829 sawa na asilimia11.13 wamepata alama za ufaulu
usioridhisha.
Aidha
wanafunzi wamefanya vizuri zaidi katika somo la Sayansi kwa asilimia
89.44, na baraza limewataka walimu kuweka mkazo zaidi kwa wanafunzi
waliofanya vibaya ili wawasaidie kuimarika na waweze kupata ufaulu
mzuri.
==>Bofya Hapa Kuyaona Matokeo
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Thursday, 21 January 2016
Post a Comment