Featured

Loading...


Mkuu wa Oganaizesheni wa NCCR-Mageuzi Amtaka LOWASSA Ajieleze Kama Ataendelea Kubaki CHADEMA Iwapo Jina lake Litaenguliwa Mbio za Urais 2020


Kufuatia  kauli ya aliyekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwavuli wa Ukawa, Edward Lowassa ya kugombea tena urais mwaka 2020, Mkuu wa Oganaizesheni wa NCCR-Mageuzi, Faustine Sungura amemhoji Lowassa kama atakuwa tayari kuendelea kutumikia Ukawa kama jina lake halitapendekezwa kugombea nafasi hiyo.
Sungura amesema kauli hiyo ya Lowassa kupambana tena katika kinyang’anyiro cha urais mwaka 2020 kunategemea maamuzi ya chama kupitisha jina lake.

“Nimemsikia Lowassa anasema kuwa anajiandaa kupambana na Rais John Magufuli mwaka 2020, lakini je, yuko tayari kuheshimu maamuzi ya chama kwa maslahi ya wakati huo?” Alihoji Sungura.

Sungura alisema mwaka jana jina la Lowassa lilipochujwa kwenye wagombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) alijiondoa na kuhamia Chadema.

“Je, atakuwa tayari kuheshimu maamuzi ya chama pale ambapo jina lake halitapitishwa kugombea urais Chadema au atahamia chama chake?” Alihoji Sungura.

Akizungumzia ushindi wa viti vya meya uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita, Sungura alisema ushindi huo ambao wameshinda wagombea wa Chadema na CUF usitafsiriwe kuwa ni ushindi wa Ukawa, bali ni ushindi wa Chadema na CUF .

“Nasema hayo kwa sababu ukizungumzia Ukawa unazungumzia vyama vinne ambavyo ni Chadema, NCCR Mageuzi, NLD na CUF, lakini kilichofanyika kuna baadhi ya kata tulisimamisha wagombea lakini walituwekea kauzibe tusipate,” alisema Sungura.

Sungura alisema baadhi ya vyama ndani ya Ukawa wana ubinafsi kuwachanganya watanzania kwa neno Ukawa ambalo halina maana yoyote badala yake kuviua vyama vingine ndani ya umoja huo.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top