Featured

Loading...


Rais Magufuli Kuwassili Jijini Arusha Leo Kwa Ziara Ya Kikazi Ya Siku Mbili


Dk. John Magufuli leo anatarajiwa  kuwasili  mkoani  Arusha ambapo keshokutwa atakuwa  mgeni  rasmi  katika sherehe  za  kutunuku kamisheni kwa  maofisa  wanafunzi wa Chuo  cha Mafunzo  ya  Kijeshi  cha (TMA), Monduli.

Mkuu  wa  Mkoa wa  Arusha, Felix Ntibenda, alisema  Dk. Magufuli   atawasili kupitia  Uwanja  wa  Ndege  wa  Kimataifa  wa  Kilimanjaro  na amewaomba  wananchi  kujitokeza  kumpokea.

"Nawaomba sana wananchi wa Mkoa wetu kwa mara ya kwanza tangu awe rais, ndio anakuja Mkoani kwetu, tujitokeze kumpokea,"alisema.

Kwa  mujibu  wa  ratiba  iliyotolewa  na  Mkuu   wa  Chuo  cha Mafunzo  ya Kijeshi  cha  TMA Meja  Jenerali  PP  Masao, Dk.  Magufuli  atatunuku kamisheni kwa maofisa wanafunzi kundi la 57/15.

Alisema  Dk. Magufuli   atatunuku  kamisheni  kwa  maofisa  wanafunzi kundi hilo, katika  sherehe zitakazoanza  saa  mbili  asubuhi  chuoni hapo.

Meja  Jenerali  Masao   alisema  wageni   mbalimbali  kutoka  ndani  na nje  ya nchi  wanatarajiwa  kuhudhuria  sherehe  hizo.

Hii  ni  ziara  ya  kwanza  ya  Rais  Dk.  Magufuli   ambaye  pia ni  Amiri jeshi  Mkuu  wa  majeshi  ya ulinzi  na usalama,  kufika  mkoani Arusha na  pia  kutunuku  kamisheni, baada  ya  kuchaguliwa kushika  wadhifa  huo Oktoba, mwaka jana.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top