Featured

Loading...


Tundu Lissu adai Dk. Slaa amepata majibu aliyouliza kuhusu Lowassa Kama ni Mzigo Au Mali

Mwanasheria Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameeleza kuwa tayari majibu ya maswali yaliyoulizwa kuhusu Edward Lowassa kuwa mali au mzigo kwenye chama hicho yamejidhihirisha wazi.
Swali hilo liliulizwa na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk. Wilbroad Slaa aliyedai kuwa alishindwa kupata majibu kama ujio wa Lowassa kama anaingia kwenye chama hicho kama mzigo au mali.
Akizungumza na waandishi wa habari mwishoni mwa wiki iliyopita, Tundu Lissu alieleza kuwa tayari majibu hayo yako wazi kuwa Lowassa ameweza kuvipa vyama vinavyounda Ukawa uwezo wa kushika Halmashauri za jiji la Dar es Salaam hatua ambayo haijawahi kufikiwa na chama chochote cha upinzani tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini. Hivyo, ni mali na sio mzigo.
“Tangu upinzani uingie ncbini haujawahi kuishika Dar, Lowassa ameiteka Dar,” alisema Lissu.
Uchaguzi wa Umeya uliofanyika wikendi iliyopita uliwezesha diwani wa kata ya Ubungo kwa tiketi ya Chadema, Boniface Jackob kushinda nafasi ya umeya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, huku nafasi ya Naibu Meya ikienda kwa Jumanne Mbulu wa Chama cha Wananchi CUF.
Kwa upande wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Nafasi ya Umeya ilishikwa na Charles Kayeko wa Chadema na naibu wake ni Omari Kumbilamoto wa CUF.
Vyama vinavyounda Ukawa pia vimeweza kushika Halmashauri za majiji ya Arusha, Mbeya na Halmashauri nyingine za miji na manispaa ambazo zilikuwa mikononi mwa CCM.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top