Featured

Loading...


MBUNGE EUGENE MWAPOSA AZIKWA UKONGA DAR

Sehemu ya waombolezaji waliofika nyumbani kwa marehemu Eugene Mwaiposa huko  Ukonga Dar.
Katikati ni mume wa marehemu, Ally Mwaiposa,  mtoto wao Salimila Mwaiposa (kushoto) na  Mektrida Mwaiposa (kulia).
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda, akisalimia waombolezaji wakati alipofika nyumbani wa marehemu Eugene jana.
...Akimfariji mume wa marehemu, Ally Mwaiposa.
Spika wa bunge la Tanzania Anna Makinda akisaini katika kitabu cha maombolezo jana.
Askofu Msaidizi wa Kanisa la la Kiinjili la Kilutheri Tanzania  (KKKT) Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Chediel Lwiza (kushoto) akitoa ibada fupi ya kumwombea marehemu.
Baadhi ya watu waliosoma na marehemu nje ya Tanzania wakisoma risala ya maombolezo.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick (kushoto), Makamu wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal (katikati) na Anne Makinda wakiwa katika maombolezo.
Baadhi ya waombolezaji waliofika mazishini.
Viongozi mbalimbali wa serikali wakiwa msibani.
MAKAMU wa Rais, Dk. Gharib Bilal, jana aliongoza mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Eugene Mwaiposa, huko Ukonga Kipunguni ‘A’ Matembele jijini Dar es Salaam ambako simanzi  na vilio vilitawala miongoni mwa umati uliohudhuria huko akiwemo Waziri wa Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia;  Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Makongoro Mahanga na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda,.
PICHA STORI: DENIS MTIMA NA HARUN SANCHAWA/GPL

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top