Featured

Loading...


MKE WA MTU SUMU: Auawa Baada ya Kufumaniwa na Mke wa Mtu

Mwanaume mmoja aliyekadiliwa kuwa na umri wa miaka 40, mkazi wa kijiji cha Soy kaunti ya Uasini Gishu nchini Kenya ameuawa baada ya kupigwa vibaya na jirani yake baada ya kumfumania na mke wake.

Kwa mujibu wa mtandao wa Citizen, mume wa mwanamke huyo alikuwa msibani wakati jirani yake akivunja amri ya sita na mkewe, na baada ya kurudi nyumbani majira ya usiku alimkuta live jirani yake na ndipo alipoanza kumshushia kipigo.

Mwili wa marehemu umeifadhiwa katika hospitaly na mtuhumiwa anashikiliwa katika kituo cha polisi cha Matunda.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top