Featured

Loading...


Mwanamuziki ALI KIBA Adaiwa Kuiba Maudhui ya Wimbo wa Chekecha Kwa Msanii Chipukizi

ALI KIBA
Msanii chipukizi wa muziki wa kizazi kipya Bongo kutoka Mbeya aliyefahamika kwa jina la Ahmad A.K.A AD amelalamikia kuibiwa kwa maudhui ya wimbo wa Chekecha na Ally Kiba.

Akifunguka jana kupitia kipindi cha “The Jump off” cha Times fm, AD anadai alikutana na Ally kwenye show Mbeya akimtaka wafanye “collabo”, AD alidai alimpa vionjo Ally lakini baada ya miezi kadhaa akashangazwa kuisikia chekecha redioni.


  • “Tulikutana Mbeya nikamwambia bro nina Idea kali, sijamtafuta bado ila next week nakuja dar nitamtafuta then taratibu zingine zitafuata” alisema Ahmad


Katika hatua nyingine “The jump off”, ilimtafuta meneja wa kundi linalowajumuisha Ally Kiba na Abdu Kiba( kiba square) Kapasta 4 real, ambaye amedai kwamba huo ni uzushi na jamaa ana lengo la kutafuta umaarufu kupitia mgongo wa Ally Kiba.


  • “Ile nyimbo Ally kaandika studio, melody pamoja na kila kitu so huyo jamaa aache ujinga wake,asizingue tutampeleka kwenye viombo vya sharia asichezee kazi za watu” alimaliza Kapasta

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top