Wasanii wa Kundi la Mjomba Band, wakiigiza kwa kufukuzwa kwa mwanamke aliyekuwa na maradhi ya Fistula, na mumewe ikiwa ni ishara ya kunyanyapaliwa kwa wenye maradhi hayo katika jamii. Onyesho hilo lilifanyika mjini Dodoma jana wakati wa hitimisho ya kampeni dhidi ya maradhi ya Fistula iliyofanyika katika mikoa mitatu Nchini na kumalizikia katika mikoa ya kanda ya kati mjini Dodoma. Kampeni hiyo ilikuwa ikiendeshwa na Hospitali ya CCBRT na Vodacom Foundation ilikuwa na lengo la kutoa elimu kwa Umma na kuwasisitiza wanaume kuwaruhusu wakinamama kujitokeza ili wakatibiwe maradhi hayo kwani yanatibika. Inakadiriwa ni wastani ya wanawake 3,000 kwa mwaka hupatwa na maradhi hayo wanapojifungua.
Mkuu wa Vodacom Tanzania Kanda ya kati, Mruta Hamisi (aliyesimama kulia) akizungumza wakati wa kuhitimisha kampeni dhidi ya maradhi ya Fistula iliyofanyika katika mikoa mitatu Nchini na kumalizikia katika mikoa ya kanda ya kati, mjini Dodoma jana.Waliokaa ni Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa jamii, Dk Stephen Kebwe (kushoto) na Afisa Mtendaji Mkuu wa CCBRT, Erwin Telemans.Kampeni hiyo ilikuwa ikiendeshwa na Hospitali ya CCBRT na Vodacom Foundation ikiwa na lengo la kutoa elimu kwa Umma na kuwasisitiza wanaume kuwaruhusu wakinamama kujitokeza ili wakatibiwe maradhi hayo kwani yanatibika. Inakadiriwa ni wastani ya wanawake 3,000 kwa mwaka hupatwa na maradhi hayo wanapojifungua.
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Stephen Kebwe (aliyesimama) akizunguza wakati wa kuhitimisha kampeni dhidi ya maradhi ya Fistula katika mikoa ya kanda ya kati, mjini Dodoma jana. Waliokaa kutoka kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa CCBRT, Erwin Telemans, Mkuu wa Vodacom Tanzania Kanda ya kati, Mruta Hamisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la UNFPA, Rutasha Dadi. Kampeni hiyo ilikuwa ikiendeshwa na Hospitali ya CCBRT na Vodacom Foundation ilifanyika katika mikoa mitatu ikiwa na dhumuni la kutoa elimu kwa Umma na kuwasisitiza wanaume kuwaruhusu wakinamama kujitokeza ili wakatibiwe maradhi hayo kwani yanatibika. Inakadiriwa ni wastani ya wanawake 3,000 kwa mwaka hupatwa na maradhi hayo wanapojifungua.
Wakazi wa manispaa ya Dodoma wakihudhuria kwa wingi kwenye hitimisho la kampeni dhidi ya maradhi ya Fistula. Ambapo Naibu Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii, Dk Stephen Kebwe alihitimisha kampeni hizo katika viwanja vya Mashujaa mjini Dodoma jana. Kampeni hiyo iliyokuwa ikiendeshwa na Hospitali ya CCBRT na Vodacom Foundation ilifanyika katika mikoa mitatu ikiwa na lengo la kutoa elimu kwa Umma na kuwasisitiza wanaume kuwaruhusu wakinamama kujitokeza ili wakatibiwe maradhi hayo kwani yanatibika. Inakadiriwa ni wastani ya wanawake 3,000 kwa mwaka hupatwa na maradhi hayo wanapojifungua.
Wananchi wakimsikiliza Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Stephen Kebwe wakati kuhitimisha kampeni ya maradhi ya Fistula iliyofanyika kwa kuzunguka katika mikoa mitatu nchini na kuhitimishwa katika mikoa ya kanda ya kati, mjini Dodoma jana. Kampeni hiyo iliyokuwa ikiendeshwa na Hospitali ya CCBRT na Vodacom Foundation ilikuwa na lengo la kutoa elimu kwa Umma na kuwasisitiza wanaume kuwaruhusu wakinamama kujitokeza ili wakatibiwe maradhi hayo kwani yanatibika. Inakadiriwa ni wastani ya wanawake 3,000 kwa mwaka hupatwa na maradhi hayo wanapojifungua.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
on Sunday, 7 June 2015
Post a Comment