Featured

Loading...


Ray J Kutumia Dola 30 Kwa Ajili Ya Birthday Ya Mbwa Wake


“I hit it first” hit maker Ray J, mwenye umri wa miaka 34, anampenda mbwa kwa kiasi ambacho ameamua kumfanyia sherehe maalum kwa ajili ya siku yake ya kuzaliwa, sherehe ambayo itafanyika Petrock Hotel and Spa iliyopo Encino, California, ambapo wageni watapita kwenye red carpet kabla ya kuingia.

Taarifa za TMZ zimeeleza, chakula kwa wageni, pia kutakuwa na sehemu maalum kwa ajili ya chakula cha mbwa na keki maalum kwa ajili ya mbwa wake anayeitwa Boogotti na marafiki zake watakuwa hapo.

Lakimi, mtu mmoja hatokuwepo ambae ni Princess Love, ambae alikuwa akimmiliki mbwa huyo mpenzi wa zamani wa Ray J.

Star wa “The Love and Hip Hop” waliachana vibaya mwezi Oktoba kitu kilichopelekea Princess kuondoka na mbwa wao watatu, kitu ambacho kimefanya Boogotti abaki peke yake.
 
Haiko wazi kama mbwa wa Princess watahudhuria birthday bash ya Boogotti.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top