Featured

Loading...


URAIS 2015: MWIGULU ACHUKUA FOMU,ASEMA KIKWETE NI RAIS WA MWISHO KUTAWALA TANZANIA MASIKINI

Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba pamoja na Mke wake katika ukumbi wa makao makuu ya CCM Dodoma.
 

Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba akiongea na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa NEC Dodoma.
Mke wa Mwigulu Nchemba akiwasalimia Waandishi wa Habari.
Naibu waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba katika mkutano na Waandishi wa Habari mara baada ya kuchukua fomu ya kugombea urais leo.

Naibu Waziri waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba leo amechukua  fomu ya kugombea urais wa  Jamhuri ya muungano wa Tanzania ikiwa atateuliwa  na chama chake cha Mapinduzi kupeperusha bendera  ya Tanzania katika uchagauzi mkuu ujao.

Akizungumza na Waandishi wa Habari amesema kwamba atahakikisha anaboresha uchumi kwa  wananchi, ikiwa ni  pamoja na kuboresha njia kuu za wananchi kupata kipato. Kufufua viwanda vilivyokufa  ili kutoa ajira kwa vijana pamoja na  kudhibiti madawa ya Kulevya, Rushwa na ufisadi.

Amesisitiza kuwa Rais Kikwete ndiye rais wa mwisho kutawala Tanzania maskini.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top