MGOMBEA
ubunge Jimbo la Bunda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(Chadema), Esther Bulaya, amelala mahabusu katika Kituo Kikuu cha Polisi
mjini Musoma, akidaiwa kutaka kuvamia Kituo cha Polisi Wilaya ya
Bunda.
Bulaya, alikamatwa juzi jioni mjini Bunda pamoja na wafuasi sita wa chama hicho, kisha kusafirishwa usiku hadi mjini Musoma.
Akizungumza
na waandishi wa habari baada ya Bulaya na wenzake kuachiliwa kwa
dhamana jana, wakili wa chama hicho, Peter Makole, alisema kukamatwa kwa
mwanasiasa huyo ni njama zinazoendelea kufanywa na wapinzani wao ili
kumdhoofisha.
Alisema Bulaya na wenzake, wamefunguliwa kesi ya kutaka kujaribu kuvamia kituo cha polisi, jambo ambalo halina ukweli.
Makole
alisema Bulaya, alifika kituo cha polisi mjini Bunda juzi saa 11 jioni
kwa lengo la kumuona Kaimu Katibu wa Chadema Mkoa wa Mara, Kaunya
Yohana, aliyekuwa akishikiliwa kituoni hapo ili kujua sababu za
kukamatwa wake.
Alisema Bulaya na wenzake, wanatarajiwa kufikishwa mahakamni leo.
Kwa
upande wake, Bulaya alisema hizo ni njama za kutaka kumdhoofisha katika
kampeni yake ya kuwania ubunge, ambazo haziwezi kumkatisha tamaa, na
kuwaomba wapigakura wa jimbo hilo kutotishwa na matukio ya aina hiyo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Philip Kalangi, hakuweza kupatikana kuzungumzia tukio hilo.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Thursday, 8 October 2015
Post a Comment