Featured

Loading...


BINAMU WA JAY Z APONDWA BAADA YA DAVIDO KUFANYA COLLABO NA MEEK MIL, SABABU IKO HAPA

davido
Binamu wa karibu wa msanii Jay Z ‘Brian Biggs aka “Bee-High‘ ameumbuka na kupondwa mtandaoni baada ya Mnigeria Davido kufanya collabo na Meek Mil, Binamu huyu anayefanya kazi kama mtafuta vipaji wa Roc Nation na Tidal ya Jay Z alitumwa Nigeria mwaka huu kutafuta vipaji na kurudi akiwa na jibu kuwa hakuna vipaji binavyoweza kufanya kazi na Roc Nation nchini Nigeria,
Mashabiki wameshangazwa na msanii Davido wa Nigeria kufanya video kali na Meek Mil bila kuwa na record lebel Marekani na kusema ndio vijana waliofaa kuwekwa Roc Nation.
Wachambuzi wa video Marekani wamesema video ya Davido “Fans Mi ft Meek Mil ni bora kuliko video ya Meek Mil ya wimbo wake “B Boy,”.
Ice Prince Na JayZ walikutanishwa na Bee High ingawa bado hajapewa lebel Roc Nation
Ice Prince Na JayZ walikutanishwa na Bee High ingawa bado hajapewa lebel Roc Nation
chocolate-city-brian
Wasanii wa Chocolate City M.I, Ice Prince walivyokutana na Binamu wa Jay-Z, Brian Biggs aka “Bee-High” kuongelea muziki na wasanii wapya Nigeria.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top