Featured

Loading...


Picha : Muheza,Korogwe Wambeba LOWASSA

Edward Lowassa, mgombea urais kupitia Chadema anaeungwa mkono na vyama vya upinzani vinavyounda Ukawa, leo amelazimika kusimama na kuwahutubia maelfu ya wakazi wa Muheza, Tanga waliojipanga barabarani. 
 
Taarifa kutoka Muheza zinaeleza kuwa walizuia msafara wa Lowassa kwa mbwembwe huku wengine wakidaiwa kulala barabarani wakimtaka mgombea huyo kuwahutubia kabla hajapita eneo hilo.
 
 Lowassa alikuwa akitokea Tanga Mjini ambapo jana alifanya mkutano wa kampeni uliohudhuriwa na mafuriko ya watu waliouzidi uwanja wa Tangamano na kumlazimu kuahirisha mkutano huo ili kunusuru maisha ya watu walioanza kupoteza fahamu uwanjani hapo

Mgombea  huyo  ameonekana  kubebwa  na  jiji  la  Tanga  na  hivyo  kuweka  alama  ya  kiulizo kama  jiji  hilo bado  linasifa ya kuendelea kuitwa ngome ya CCM. 
Wakazi wa Korogwe wakimsikiliza Lowassa

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top