Mbunge wa jimbo la Bumbuli, mjumbe wa NEC na Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba baada ya kutangaza nia jana juni 10, amechukua fomu katika Ofisi Kuu za Chama Cha Mapinduzi mjni Dodoma ya kuomba kuteuliwa kugombea urais kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi.
Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu Makmba alisema kwamba ataendelea na safari yake nchi nzima kutafuta wadhamini ambao ni wanachama wa CCM ikiwa ni sehemu ya hitaji la chama kuwa na wadhamini 450.
Hata hivyo aliwashukuru wananchi kwa kuungana naye kutoka katika kila kona ya nchi na nje ya nchi huku akisisitiza kuwa ni zama mpya, za kizazi kipya kuamua na kujenga kesho ya nchi yetu.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
on Thursday 11 June 2015
Post a Comment