Featured

Loading...


Kakobe Arusha Kombora Zito kwa Nyalandu na Mwigulu


Katika hali isiyo ya kawaida Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zachary Kakobe amefunguka na Injili nzito kwa kuwataja baadhi ya wagombea urais kwamba waingie katika wokovu kamili badala ya kuwa na wokovu aliodai ni wa kuigiza.

Katika moja ya mahubiri yake kanisani kwake Mwenge, Sam Nujoma Road, Askofu Kakobe  aliwataja wagombea urais Mwingulu Nchemba na Lazaro Nyalandu pamoja na mmoja wa mawaziri maarufu, Dk. Harisson Mwakyembe kwamba wanapaswa kuokoka ili mambo yao yawanyokee.
 
“Leo sikwepeshi maneno. Kila mtu anajifanya ameokoka lakini huo ni wokovu ule. Nyalandu (Lazaro), ameokoka kweli? Mwigulu (Nchemba), ameokoka kweli, Mwakyembe (Dk. Harisson) ameokoka? Angalia sasa kwa viwango hivi ndiyo utajua umeokoka au namna gani.

“Mimi hapa sitafuti mtu, waziri ukija hapa, rais ukija hapa utanisaidia nini, rais huwezi kunipa hela mimi….mimi ndiyo naweza kumpa hela…sihitaji hela ya mwanasiasa, ninachohitaji watu waingie katika wokovu wa kweli,” alisema Askofu Kakobe.
 
Nyalandu aliwahi kuonekana katika kanisa linaloongozwa na Nabii Josephat Mwingira Kibaha ambako aliwaomba waumini kumuunga mkono katika harakati zake za urais na Dk. Mwakyembe aliwahi kuonekana katika Kanisa la Askofu Josephat Ngwajima.
 
Hata hivyo, Mwigulu naye kwa mujibu wa Askofu Kakobe, amekuwa akijitangaza kwamba ameokoka, wokovu ambao kiongozi huyo haridhiki nao.Hakuna kiongozi yeyote kati yao  aliyepatikana juzi kuzungumzia wito huo wa Askofu Kakobe.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top