Featured

Loading...


Mussa Zungu ataka Rais ajaye Alikabili Tatizo la Ajira


MBUNGE wa Ilala, Mussa Zungu (CCM), amesema kutokana na tatizo la ukosefu wa ajira linalowakabili vijana wengi nchini, ni lazima rais ajaye awe na ajenda maalumu ya kukabiliana nalo.
 
Zungu alisema hayo juzi jijini Dar es Salaam, wakati wa hafla ya kuwaaga wanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) waliomaliza ngazi ya Cheti, Shahada na Astashahada ambao ni makada wa chama hicho.
 
“Ukosefu wa ajira ni tatizo ambalo lipo kila mahali hadi Ulaya na si Tanzania pekee, lakini linaweza kutatulika iwapo tutakuwa na ajenda maalumu ya kusaidia vijana wetu ili waweze kujiajiri na kuachana na mawazo ya kuajiriwa,” alisema.
 
Alisema iwapo atafanikiwa kushinda nafasi ya ubunge kwenye Uchaguzi wa Oktoba 25, mwaka huu na kuendelea kuongoza jimbo hilo, ataendelea kusisitiza juu ya jambo hilo.
 
“Katika Bunge hili la hivi sasa niliwahi kupendekeza kwamba lazima kuwepo na bajeti maalumu ambayo itawekwa kwenye mfuko wa kusaidia vijana, nilipendekeza kiasi cha Sh bilioni 200 ili waweze kukopa na kujiajiri.
 
“Nina uhakika kwamba nitashinda na kurudi bungeni tena na nitakwenda kuendelea kutetea hoja yangu hii, kwa hiyo natoa rai kwa wapiga kura katika jimbo langu kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura pindi Tume ya Uchaguzi (NEC) itakapofika hapa Dar es Salaam ili waweze kunipigia kura wakati utakapofika,” alisema.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top