PENZI ni tamu sana kila mtu anatambua hilo, na kukoswa pendo ni uchungu sana katika maisha ya binadamu.
Pamoja na hayo yawezekana wewe unayesoma blogu hii na wewe unampango wa
kumuacha mpenzi wako, kutokana na sababu mbalimbali lakini yote hayo ni
sawa na kupotea ndugu yangu.
Nakuomba sana usimuache mke wako kwani daima ulishamutamkia kuwa
unampenda na hutamuacha kamwe katika maisha yako! Kumbuka baada ya
kumuacha mrembo bibie utapata nini au utafaidika na nini? Zaidi ya
kuanza kujuta na kuumia roho yako?
Wapo wanaume wengi wanaoachana na wake zao matokeo yake wanaanza kujutia kitendo hicho.
Namkumbuka baba mmoja tajiri mkubwa katika jiji hili la Dar aliwahi kuja
katika ofisi zetu za ushari ili kuomba ushari wa doa yake
Baada ya mke wake kuchoshwa na baba huyo na kuamua kurudi kwao Mwanza.
Sasa baada ya kuachwa baba huyo alianza kuumia zaidi na kuwa anashinda
nyumbani badala ya kwenda kazini, jambo ambalo lilimpelekea kuja ofini
kwetu kuomba ushauri wa kufanya ili mke wake arudi.
Nasi tulimpatia ushauri na tukamuita mke wake naye tukamupa ushauri wa
umuhimu wa mke na mume katika ndoa, jambo ambalo liliwaunganisha na
mpaka sasa wanaishi kwa amani na upendo wa ajabu.
Sasa ndugu yangu kumbuka kuwa mwanamke ni muhimu sana katika maisha
yako, mwanaume ameumbwa kwa ajili ya mwanamke na mwanamke kwa ajili ya
mwanaume sasa kunahaja gani ya kumtukana mke wako ambaye ni mzuri?
Kunahaja gani ya kumfukuza mke wako anaye kupa penzi la dhati? Na
kunahaja gani ya kuwa na msongo wa wawazo kisa mke wako mwenye penzi
tamu kaondoka? Sasa mwambie mke wako nakupenda sana mke wangu na
sitakuacha kamweeeee.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
on Wednesday 17 June 2015
Post a Comment