Featured

Loading...


PICHA ZA ALIYEKUWA MKE WA BOB JUNIOR AKIWA NA MPENZI WAKE MPYA NIMEKUWEKEA HAPA

 Msanii na mtayarishaji wa muziki kutoka studio ya Sharobaro Records,Bob Junior ambaye alimpa talaka mkewe,aitwaye Halima Ally miaka kadhaa iliyopita baada ya kushindana tabia,hatimaye ‘mkewe’ amepata mpenzi mpya aitwaye Immu Bella.

Picha kadhaa ambazo Clouds.com imezipata zikimuonyesha Immu Bella ambaye ni msanii wa Bongo Fleva akiwa na aliyekuwa mke wa Bob Junio huku amembeba mtoto wa msanii huyo.

Mwanaume huyo akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa ni kweli Halima ni mpenzi wake na wana mipango endelevu ya penzi lao na yuko tayari kumlea mtoto wa Bob Junior kwa kuwa hana hatia yoyote.


TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top