STAA wa filamu Bongo, Wastara Juma amesema kitu ambacho kimemponza na
kumfanya asumbuliwe na mguu wake mara kwa mara ni kujisahau sana katika
starehe kwa kuwa hajawahi kujikubali kuwa ni mlemavu.
Akipiga stori na paparazi wetu Wastara alisema, tangu alipopatwa na
tatizo hilo la mguu kwenye fikra zake hakutaka kukubali matokeo, siku
zote alipenda aishi kama alivyokuwa mzima ikiwa ni pamoja na kwenda
kwenye muziki na kucheza.
“Siyo siri nilijisahau sana, sikupenda kujiona mlemavu, nilikuwa naishi kama mtu wa kawaida tu.
Sasa hivi najuta kwa kutozingatia matunzo ya mguu wangu maana nilikuwa
najiachia sana hususan linapokuja suala la muziki. Sasa nimeamua
kukubaliana na hali halisi kama walivyo walemavu wengine,” alisema
Wastara.
Chanzo:Global Publishers
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
UDAKU
on Sunday, 20 December 2015
Post a Comment