Mh. Dkt. Makongoro Mahanga akizungumza na waandishi wa habari
Naibu Waziri wa Kazi na Ajira na Mbunge wa Segerea anayemaliza muda wake,Mh. Dkt. Makongoro Mahanga, ametangaza kuihama CCM kutokana na kutokuwepo Demokrasia ya Kweli ndani ya CCM.
Ametangaza kujiunga na CHADEMA.Naibu Waziri, Dk. Milton Makongoro Mahanga, atazungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Segerea. Amesema ana neno zito anataka kuwaambia Watanzania. Ukizingatia kuwa Makongoro ni mmoja wa wafuasi watiifu wa Mheshimiwa Lowassa, na kwa mazingira ya sasa ya kisiasa nchini, unaona kabisa Makongoro anamfuata Lowassa. Subirini. Kama kawaida hatuleti uzushi hapa.
CHANZO JAMII FORUM
Naibu Waziri wa Kazi na Ajira na Mbunge wa Segerea anayemaliza muda wake,Mh. Dkt. Makongoro Mahanga, ametangaza kuihama CCM kutokana na kutokuwepo Demokrasia ya Kweli ndani ya CCM.
Ametangaza kujiunga na CHADEMA.Naibu Waziri, Dk. Milton Makongoro Mahanga, atazungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Segerea. Amesema ana neno zito anataka kuwaambia Watanzania. Ukizingatia kuwa Makongoro ni mmoja wa wafuasi watiifu wa Mheshimiwa Lowassa, na kwa mazingira ya sasa ya kisiasa nchini, unaona kabisa Makongoro anamfuata Lowassa. Subirini. Kama kawaida hatuleti uzushi hapa.
CHANZO JAMII FORUM
Post a Comment