
Meneja msaidizi wa bidhaa za Zuku Tanzania, Venaranda Raphael, amezitaka kampuni zinazofanya shughuli za filamu nchni zizingatie maadili kwa kuonyesha filamu zao usiku ili zisiharibu taibia za watoto walio chini ya umri wa miala 18.
Alisema filamu nyingi zina picha zisizofaa kwa watoto hivyo zionyeshwe usiku wa manane ambapo inaaminika kwamba muda huo idadi kubwa ya watoto huwa wamelala.
Naye memeja mkuu wa kampuni hiyo, Omari Zuberi, alisema kampuni hiyo imewekeza dola milioni moja kwa kipindi cha miaka 10 ili kusaidia Tamasha la Filamu Zanzibar (ZIFF) kupata watu wenye vipaji ndani na nje ya nchi.
Katika tamasha hilo, filamu zitakazoshindandishwa katika kipengele cha ‘Zuku Bongo Movies’ ni Mapenzi ya Mungu,Mr.Kadamanja, Fundi Seremala, Daddy’s Wedding, VIP, Single Zero,Kutakapokucha,Msago, Mikono Salama na Nyange Kigoma.
Nyingine ni Mbawa Mwitu, Samaki Mchangani,Faraja, Pichu, Going Bongo na Kilimo 2.
Hata hivyo mkurugenzi wa Tamasha hilo, Prof.Martin Mhando alisema kwa pamoja ZIFF na Zuku wanasaidia kuendeleza tasnia yafilamu za bongo kwa kuwa wanathamini sanaa ndiyo maana wanaamini kwamba itasaidia kuwaongezea ujuzi watayarishaji wa filamu zakiswahili kwa kuwa hitaji la filamu zao ni kubwa.
Mtanzania
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
on Tuesday, 30 June 2015
Post a Comment