Featured

Loading...


‘Filamu Zionyeshwe Usiku wa Manane’

‘Filamu Zionyeshwe Usiku wa Manane’

Meneja msaidizi wa bidhaa za Zuku Tanzania, Venaranda Raphael, amezitaka kampuni zinazofanya shughuli za filamu nchni zizingatie maadili kwa kuonyesha filamu zao usiku ili zisiharibu taibia za watoto walio chini ya umri  wa miala 18.
Alisema filamu nyingi zina picha zisizofaa kwa  watoto hivyo zionyeshwe usiku wa manane ambapo inaaminika  kwamba muda huo idadi kubwa ya watoto huwa wamelala.
Naye memeja mkuu wa kampuni hiyo, Omari Zuberi, alisema kampuni hiyo imewekeza dola milioni moja kwa kipindi cha miaka 10 ili kusaidia  Tamasha la Filamu Zanzibar (ZIFF) kupata  watu wenye vipaji ndani na nje ya nchi.
Katika tamasha hilo, filamu zitakazoshindandishwa  katika kipengele cha ‘Zuku Bongo Movies’ ni Mapenzi ya Mungu,Mr.Kadamanja, Fundi Seremala, Daddy’s Wedding, VIP, Single Zero,Kutakapokucha,Msago, Mikono Salama na Nyange Kigoma.
Nyingine ni Mbawa Mwitu, Samaki Mchangani,Faraja, Pichu, Going Bongo na Kilimo 2.
Hata hivyo mkurugenzi  wa Tamasha hilo, Prof.Martin Mhando  alisema kwa pamoja ZIFF na Zuku wanasaidia  kuendeleza tasnia yafilamu  za bongo  kwa kuwa wanathamini sanaa ndiyo maana wanaamini kwamba itasaidia kuwaongezea ujuzi watayarishaji wa filamu zakiswahili kwa kuwa hitaji la filamu zao ni kubwa.
Mtanzania

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top