Featured

Loading...


MAAJABU! MAITI YAPUMUA WAKATI IKIOSHWA ILI IVISHWE SANDA, WAOMBOLEZAJI WATIMUA MBIO, MSIBA WAVUNJIKA!



Huko mjini Bagamoyo katika eneo lijukanalo kwa jina la Majani Mapana, mwanamama mmoja jana(juzi) aliyetambulika kwa jina moja la Bi. Hatujuani aliyethibitishwa kuwa umauti umekuta, alipumua wakati wakimkosha na kwa matayarisho ya kuvikwa sanda.

Bi. Hatujuani aliugua kwa muda na kukimbizwa hosptilai ya wilaya Bagamoyo na baadaye kudhaniwa kuwa ama amepatwa na umauti wa muda mfupi au kupoteza fahamu lakini hospitalini hapo walithibitisha kuwa keshakufa.

Mkasa huo ulitokea tarehe 28 Juni 2015 na wanandugu walishachukua maiti na matayarisho ya maziko yakiwa mbioni, turubai lilishafungwa,sanda tayari hadi Juni 29, 2015 wakimkosha maiti Bi. Hatu mwenye umri wa miaka 30, waliokuwa wakimkosha walishtuka maiti kuwa ana joto kali, anatoka jasho na anakunja na kukunjua mikono na miguu, lakini kusema wala kusimama hawezi!

Baada ya wanandugu kutangazia umma kuwa msiba hakuna tena bali tuna mgonjwa mahututi.
Waliofika msibani na umati wa watu waligoma kuondoka mazikoni hadi kieleweke nini kilichozua mtihani huu tena katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top