Featured

Loading...


MASIKINI AUNT EZEKIEL AKIRI AIBU YA KUZAA NJE YA NDOA YAKE

Aunt Ezekiel na mume wake Moses Iyobo wakifurahia na mtoto wao.
Mkali wa sinema za Kibongo Aunt Ezekiel akiwa na wafanyakazi wa Globalpublishers walipomtembelea kumuona mtoto wake.

Makubwa! Aunt Ezekiel ameweka wazi kinachotafsirika kuwa ni kuzaa nje ya ndoa huku akishikilia alichokiita ‘hayo ni mambo yake binafsi’, Ijumaa Wikienda liligaragazana naye kwa maswali.

Akizungumza kwa njia ya simu na ‘kijumbe’ wetu wikiendi iliyopita, mkali huyo wa sinema za Kibongo, alisema kamwe hapendi kuulizwa masuala ya ndoa yake.

Aunt alisema suala hilo ni la kifamilia na kwamba yeye ndiye mwenye siri ya nani baba wa mtoto huku akishindwa kukubali kama ni Sunday Demonte ambaye ni mumewe wa ndoa, ndiye baba wa mwanaye Cookie.

“Mume wangu anapaswa anisikilize mimi, hakuna mahali niliwahi kusema kuwa mtoto huyu ni wa Iyobo (anayetajwa kuwa ni mpenzi wake), ni kweli nimepiga picha na Iyobo tukiwa na mtoto, lakini mtu yeyote anaweza kuja nyumbani, hata wewe (mwandishi), tukapiga picha nikiwa na mwanangu.

“Kuhusu Demonte, huyo ni mtu wangu, siwezi kusema mtoto ni wa kwake na siwezi kusema si wa kwake, ni mambo yangu binafsi, kama yeye (Demonte) akiamua kufuata maneno ya watu, sawa lakini ni bora anisikilize mimi mkewe,” alisema.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Aunt alimlalamikia mwandishi wetu kwa maswali mengi na mazito yaliyosababisha kukaukiwa maziwa kwenye matiti yake na kwamba kwa wakati ule hakujua mwanaye Cookie angenyonya nini.

“Ona sasa, umeniuliza maswali mengi hadi maziwa yamenikauka, sijui mwanangu atanyonya nini?” alilalamika Aunt

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top