
Tume ya taifa ya Uchaguzi (NEC),imetakiwa kuongeza muda wa Kujiandikisha katika Daftari la kudumu la Wapiga kura kwa jiji la Dar es Salaam kutokana na wingi wa watu lakini ibadilishe baadhi ya sheria ili kila mtu mwenye sifa apate haki ya kupiga kura
Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Said Miraji, akizungumza katika moja ya mikutano yao.
Akizungumza katika Mkutano maalum wa chama cha ADC leo jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Chama hicho Said Miraji Abdallah amesema kuwa kuna watu wenye sifa ambao wanakosa haki yao ya msingi wakiwemo wafungwa, wagonjwa, na watanzania walio nje ya nchi ambao wanashindwa kupata haki yako kutoka na mfumo wa sasa wa uandikishaji.
Bw. Miraji ameongeza kuwa kuna watu ambao wanaweza kuachiwa magerezani wakati zoezi la uandikishaji limeshapita hivyo litawafanya washindwe kushiriki katika uchaguzi mkuu hivyo tume haina budi kuziangalia sheria zake upya.
Wakati huo hou Aliyekuwa mbunge wa Wawi Zanzibar kupitia Chama cha WanancHi (CUF) Hamad Rashid amejiunga rasmi na chama chake kipya cha ADC leo na kukabidhiwa kadi namba moja.
Akiongea na waandishi wa habari Hamad Rashid ametumia fursa hiyo kutangaza nia ya kuwania urais wa Zanzibar ifikapo Oktoba 25 mwaka huu kwa tiketi ya chama hicho.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
on Friday, 24 July 2015
Post a Comment