Featured

Loading...


Nuhu Mziwanda: Sipo na Shilole Hivi Sasa

Msaniii Nuhu Mziwanda ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake mpya 'Bilima' amefunguka na kusema kuwa kwa sasa hayupo na Shilole, Nuhu amesema hayo jana alipokuwa Kikaangoni akichat na mashabiki kupitia ukurasa wa facebook wa EATV.Nuhu Mziwanda: Sipo na Shilole Hivi Sasa

Toka ulipoaanza mwezi wa ramadhan kulikuwa na tetesi kuwa msanii Nuhu amehama kutoka kwa Shilole na sasa anaishi kwake mwenywe hilo limethibitishwa Nuhu alipokuwa akijibu swali la kwanini mpaka sasa anaendelea kuishi na Shilole kwenye nyumba ambayo Shilole amepanga.

"Hapana sipo na Shilole kwa sasa mimi nipo kwangu"

Lakini kauli ya Nuhu haina maana kuwa mapenzi yao yamekufa lahasha bali amempisha mwenzake katika kipindi cha mfungo wa ramadhan kutokana na misingi ya imani ya mpenzi wake na kudai kuwa licha ya hilo hivi sasa yeye mwenyewe anakwake na anamaisha yake mwenyewe.

Maswali mengi ambayo mashabiki wa ukurasa wa EATV walikuwa wakiyauliza yalikuwa ni kuhusu maisha ya mapenzi kati yake na Shilole hivyo walikuwa wakihitaji kufahamu mambo mbalimbali ambayo huenda wanaona kama yanazushwa na jamii hivyo ilikuwa ni sehemu ya wao kupata ukweli, mashabiki wengi walikuwa wakiiuliza inakuaje anakubali kupigwa pigwa na mwanamke kama mtoto na hapo ndio Nuhu Mziwanda alipoweka wazi suala hilo la yeye kupewa kichapo na Shilole.

"Hamna mapenz bila kugombana na siku zote ukitaka kudumu na mwanamke usimuonyeshe ubabe sababu mwanaume wa kweli hapigi na hata kama ukipigwa kibao na mwanamke hauwezi kufa hivyo ni vema kua kama mwanaume na kusamehe"

Mbali ni hilo Hit maker huyo wa Bilima alikana suala la yeye kulelewa na Shilole na kusema kuwa yeye ana maisha yake na mpenzi wake huyo ana maisha yake pia hivyo halelewi kama ambavyo baadhi ya watu wanavyosema mitaani kuwa analelewa na kutunzwa na Shilole.

"si kweli mimi silelewi maana nina maisha yangu na shishi ana maisha yake so tumekutana tu kimapenzi ila watu wanajudge tofauti ila wanapaswa kutambua kuwa mimi na maisha yangu na Shishi pia ana maisha yake binafsi,ni mapenzi tu yanafanya kuwa kitu kimoja"

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top