Featured

Loading...


Ray c awapiga mizinga wanaomchumbia

MAKUBWA! Mwanadada mkongwe wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C,’ amedaiwa kuwageuza mtaji wanaume wanaojitokeza kumchumbia kwa kuwapiga mizinga ili ajipatie ‘chochote’ (fedha), Risasi Mchanganyiko lina ‘full’ stori.
Kwa mujibu wa mmoja wa wanaume aliyejitambulisha kwa jina la Aboubakar ambaye alifunga safari mpaka kwa Ray C kwa lengo la kutaka kumuoa wiki chache baada ya mwanadada huyo kutangaza kutafuta mume mwenye vigezo alivyovitaka, baada ya kuchati na kumueleza kuwa anataka kumuoa, alishangaa kuona mwanadada huyo anampiga mzinga.
IMG_0380Kijana  Abubakar Ally ‘Babuu’.
Aboubakar alisema Ray C alimuomba amtumie shilingi laki moja kwa njia ya simu ambapo jamaa huyo alikataa na kutaka wakutane kwanza ndiyo wapeane kiasi hicho cha fedha. Msanii huyo alimtaka jamaa wakutane Mbezi-Garden lakini amtumie kwanza pesa hizo.
Akizidi kumwaga ubuyu, Aboubakar alisema alianza kumuona Ray C kama mtu wa mizinga kwa kung’ang’ania atumiwe pesa hiyo wakati hawajakutana na kuongeza kuwa alimpigia simu ili kupata uhakika zaidi kama kweli akimtumia pesa hiyo watakutana kwenye hoteli hiyo, lakini alimhakikisha kuwa endapo atamtumia watakutana.
“Unajua nini, ningeweza kumtumia kama tungekutana ana kwa ana lakini ndiyo kwanza nimewasiliana naye ananipiga kirungu kikubwa hivyo je, nikiwa naye si nitakuwa natoa mamilioni, kama ndiyo hivyo amenishinda,” alisema Aboubakar.
IMG_0375….Akigonga geti nyumbani kwa Ray C.
…Kama hiyo haitoshi, mwanaume mwingine kutoka Mwanza aliyeongea na mwandishi wetu kwa sharti la kutoandikwa jina lake gazetini, alidai kuwa Ray C alimwambia amtumie shilingi elfu 40 kwa ajili ya mafuta kwenye gari lake kabla hata hajakutana naye jambo lililomfanya aachane naye.
“Aliniambia nimtumie shilingi elfu 40, sasa nikaona mtu mwenyewe ndiyo kwanza ninaongea naye, anaonekana anapenda hela sana huyu mdada na mimi nimekata tamaa,” alisema mwanaume huyo.
Mwandishi wetu alimtafuta Ray C na kumsomea mashtaka yake ambapo alisema wanaume wengi wamekuwa wakimsumbua baada ya kutangaza kutaka mume na kudai kuwa wanaume hao ni washamba hivyo ameamua awaombe hela ili wasimpigie tena.
“Wapuuzi sana hao, sasa kuwakatiza nawaambia tuma milioni baada ya hapo hawanisumbui tena,” alisema Ray C na alipoulizwa kama haoni anajikosesha bahati ya mume mwema kwa kuwaomba hela, alisema wanaume wengi wanaopiga ni washamba tu kwa kuwa yeye hataki kulea mwanaume bali anataka kulelewa.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top