Featured

Loading...


Wamiliki wa Mabasi Kushitakiwa


BARAZA la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA CCC), limetishia kufungua kesi dhidi ya wamiliki wa magari watakaogoma na kusababisha usumbufu kwa wasafiri.
 
Tishio hilo limekuja baada ya Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) kusema kuwa kitaitisha mgomo endapo serikali haitapunguza ushuru wa mabasi kutoka asilimia 25 kufikia asilimia 10.
 
Akizungumza Dar es Salaam hivi karibuni, Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Dk Oscar Kikoyo alisema, wamepata taarifa ya mpango wa Taboa kuitisha mgomo huo, nakwamba, kisheria chama hicho hakina haki ya kufanya hivyo.
 
"Tumesikia kupitia vyombo vya habari kuwa utaitishwa mgomo. Tunaomba ieleweke kuwa Taboa si chama cha wafanyakazi kwa hicho, hakina haki ya kuitisha mgomo wa wafanyakazi. Ni Chama cha Wamiliki wa Mabasi".
 
Aliongeza kuwa, endapo mgomo utaitishwa, utakuwa batili na wao watakuwa na sababu ya msingi ya kumshitaki mmiliki mmoja mmoja alipe fidia wasafiri kwa hasara watakayokuwa wameipata.
 
Katika hatua nyingine, alisema Sumatra inatakiwa kukunjua kucha zake pia, kwa kuwachukulia hatua wamiliki hao wa mabasi, kutokana na uchochezi wa migomo ya mara kwa mara. Ushuru unaolalamikiwa na wamiliki wa mabasi ulianza kutozwa Julai Mosi, mwaka huu.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top