Michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na kati Kagame Cup 2015 imemalizika August 2 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam kwa kupigwa michezo miwili wa mshindi wa tatu na mchezo wa fainali.
Mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu ulipigwa kuanzia saa 7:30 mchana kwa kuzikutanisha timu za KCCA ya Uganda dhidi ya Al Khartoum ya Sudan, mchezo ambao umemalizika kwa KCCA kushinda kwa jumla ya goli 2-1.
Baada ya hapo ulipigwa mchezo wa fainali uliozikutanisha timu za Azam FC kutokea Tanzania na Gor Mahia kutokea Kenya huo ni mchezo wa sita kwa Azam FC kucheza bila kufungwa katika michuano ya Kagame.
Azam FC imeifunga Gor Mahia ya Kenya goli 2-0 huku magoli ya Azam FC yakifungwa na nahodha wa timu hiyo John Bocco dakika ya 16 kipindi cha kwanza huku goli la pili likifungwa na Kipre Tchetche dakika 65, kwa matokeo hayo Azam FC ni bingwa wa Kagame Cup 2015.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
on Sunday, 2 August 2015
Post a Comment