Featured

Loading...


Davina: Kuna Wakati Natamani…

“MOYO wangu umegandwa na mavumbi, macho yamepofuka kwa machozi, kwani mateso yangu hayapimiki kwa mizani, kila mtu ananihukumu kwa uongo na hadithi za kutunga juu ya ndoa yangu pasipo kujua ukweli,” ndivyo anavyoanza kusimulia staa wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ akielezea wakati mgumu anaokutana nao baada ya kuwepo na mgogoro kwenye ndoa yake.
Davina: Kuna Wakati Natamani…
Akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wetu hivi karibuni, msanii huyo alisema kila mahali anapopita ananyooshewa vidole kwa watu kumhukumu kuwa ni mkorofi kwenye ndoa yake jambo ambalo halina ukweli.
Akaeleza kuwa, siri za ndoa huzijua wahusika na kwamba hata yeye kufikia hatua ya kutengana na mumewe anajua chanzo ni nini na si rahisi kumueleza hata mama yake mzazi, ila watu wanatumia maneno makali yanayomuumiza.
“Kila mtu anasema analolijua, hakuna aliyenilazimisha kuolewa, kilichonifarakanisha na mume wangu tunakijua sisi wawili (yeye na mumewe), labda na watu wangu wa karibu, lakini kwa sasa maneno yamekuwa mengi sana, tena yenye kuumiza kiasi kwamba kuna wakati natamani hata kujitoa uhai.
“Vitu vingine ni vya ndani sana hata mama yangu mzazi siwezi kumwambia, ila maneno yamenizidia, haya, huyo Mike wanayemsema natoka naye, jamani nimemjua Mike kabla ya mume wangu, ilikuwaje nisitoke naye zamani ije kuwa leo? Naumia miye jamani, Mungu anajua, ipo siku kila kitu kitakuwa wazi,” alisema Davina kwa sauti ya uchungu.
Chanzo: GPL

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top