MUIGIZAJI mkongwe wa filamu Bongo Hamisi Ndende amemzawadia mkewe gari kama shukrani kukubali kuolewa naye na kumzalia mtoto wa kike Hamida, msanii huyo alimtuza gari aina ya Paso mkewe Chau Uledi, katika shereha za harusi iliyofanyika hivi karibuni.
“Mara nyingi katika ndoa zawadi hutolewa na kama kamati au wazazi lakini mimi kwa upendo wangu nimeamua kumzawadia mke wangu zawadi ya gari mimi kama mimi kama shukrani kwa mke wangu kudumisha mapenzi yetu,” Ndende.
Ndende anasema kuwa maandalizi ya sherehe yake alifanya kwa kushirikiana na rafiki zake huku akizingatia nafasi yake kama msanii mkubwa katika tasnia ya filamu, Ndende ni msanii ambaye pia kwa sasa anaimba na alibuka kung’ara katika filamu ya Girfriend baadae katika tamthilia ya Jumba la Dhahabu
Chanzo: FC
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
on Saturday, 1 August 2015
Post a Comment