Featured

Loading...


Bulembo Azuia UKAWA kutumia Uwanja wa CCM


MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa, Abdallah Bulembo amepiga marufuku uwanja wa jumuiya hiyo uliopo eneo la Milango Kumi wilayani Kahama mkoani Shinyanga kutumika kwa mikutano ya kampeni za siasa kwa vyama vinavyounda umoja wa Ukawa kwani uwanja huo ni rasilimali ya wanaCCM.

Bulembo alitoa onyo hilo mwishoni mwa wiki iliyopita wakati alipomkaribisha Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli aliyefika kwa wakazi wa Mji wa Kahama kwa lengo la kuomba kura.

Alimtaka Dk Magufuli autumie uwanja huo vyema kuomba kura kwani ni wake kwa kuwa baadaye ndiye atakayekuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa pindi atakapochaguliwa. 
 
Alimweleza mgombea urais mbele ya wananchi kuwa uwanja huo ni mali ya wanaCCM kupitia Wazazi ambao ndio wamiliki na wameuweka mahususi kwa kuandaa mikakati ya ujenzi wa Chuo cha Ufundi katika eneo hilo, hivyo uwanja huo usitumike kwa siasa na vyama pinzani badala yake CCM pekee wataendelea kuutumia.

“Mambo yakiwa mazuri hapa tulipo watajenga shule ya ufundi ‘Veta,’ uwanja huu Chadema hawaruhusiwi kufanya mikutano ya kampeni za siasa ya Ukawa hapa, siyo eneo lao, tusiwaone hapa watafanya mikutano ya kampeni za CCM pekee.”

Pia Bulembo aliwaeleza wananchi hao kuwa Ukawa kuongoza nchi ni ndoto kwani Mgombea urais kwa tiketi ya CCM amefanikisha kupiga mikutano mingi huku akisema mikutano rasmi kwa siku moja ni 110 isiyo kuwa rasmi ni 420, na kutembea umbali wa kilometa 15,600 kwa siku kitu ambacho wao hawana uwezo nacho.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top