Featured

Loading...


DK MAGUFULI AITEKA IRINGA AWAFAGILIA MWAKALEBELA, MGIMWA

Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akijinadi kwa Wananchi wakati wa mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Samora, mjini Iringa.
 Mjumbe wa Kamati ya Kampeni za CCM, William Lukuvi akitangaza wasifu wa mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk Magufuli wakati wa mkutano wa kampeni kwenye Uwanja Samora mjini Iringa.
 Nape Nnauye akiwaomba wananchi kumuombea afya Mgombea urais  kupitia Chadema, Edward Lowassa ili aje ashuhudie CCM ikishinda urais.
 Dk Magufuli akimkabidhi Ilani ya Uchaguzi ya CCM Mgombea ubunge Jimbo la Iringa, Frederick Mwakalebela wakati wa mkutano wa kampeni mjini Kilolo, Iringa
 Dk Magufuli akimnadi mgombea ubunge Jimbo la KIalenga kupitia CCM,  Mgimwa wakati wa mkutano wa kampeni katika Mji wa Ifunda.
Dk Magufuli akipokea kadi za watu waliojiunga na CCM baada ya kuvihama vyama vyao jana mjni Ilula.
mwana FA akikamua iringa mjini.
Khadija Kopa, akifanya yake Iringa mjini.
Temba na chegge wakikamua iringa mjini.
Frederick Mwakalebela na MwanaFA wakipiga push up kuonesha kuwa wako fiti.
wakazi wa Ilula wakimsikiliza magufuli.
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM. Dk. John Pombe Magufuli jana aliendelea kupiga kampeni za kuomba kura za urais pamoja na wabunge na madiwani wake.
Akiwa mkoani Iringa Magufuli alifanya mikutano mikubwa katika miji midogo ya Ifunda, Irula na kisha alimalizia kwa mkutano wa mwisho uliofanyika uwanja wa Samora uliopo Iringa mjini. Akiwa Iringa mjini Magufuli aliwanadi wagombea wake akiwemo Frederick Mwakalebela  anayegombea jimbo la Iringa mjini.
(Habari/Picha: Richard Bukos)

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top