Featured

Loading...


DK.MAGUFULI ATIKISA KAHAMA, WANANCHI WASEMA CCM IMELETA SUNAMI


Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha  Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli leo akihutibia moja ya mikutano yake ya kampeni  aliyoifanya katika wilaya za Mbogwe, Bukombe mkoani Geita  na Kisha Halmashauri pya ya Ushetu baadaye mkutano mkubwa wa kampeni  uliofanyika mjini Kahama mkoani Shinyanga ambapo mji huo umetikisika kutokana na umati wa wananchi waliohudhuria mkutano huo uliorushwa moja kwa moja na kituo cha Televisheni cha Star TV huku baadhi ya wananchi wakisema CCM ilmeleta Sunami Kahama.
Akizungumza katika mkutano huo wakati akiwaomba wananchi kujitokeza kwa wingi Oktoba 25 mwaka huu ili kumpigia kura za ndiyo ili awatumikie watanzania katika nafasi ya Urais  na kuongeza kwamba moja ya mambo ambayo serikali yake itashughulikia ni pamoja na kuhakikisha madereva wanapata mikataba kutoka kwa waajiri wao ili kuboresha maslahi yao.
Amesema Madereva ni watu muhimu sana katika sekta ya usafirishaji na wanafanya kazi ngumu sana lakini maslahi yao hayajaangaliwa kwa makini na  kuyaboresha ili na wao ili na wao waone faida ya kazi yao, Na siyo kuumia bila kipato kinachowatosheleza katika kuendesha familia zao na maendeleo yao kiuchumi. hivyo serikali ya awamu ya tano itakayoongozwa na Dk. John Pombe Magufuli italiangalia pia suala hilo.(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-KAHAMA)
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha  Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo katika mkutano huo uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Kahama.
????????????????????????????????????
Baadhi ya wananchi waliohudhuria katika mkutano huo wakipunga mikono yao juu kuashiria kufurahishwa na hotuba ya Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha  Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli.
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????
Waangalizi wa uchaguzi pia  pia walihudhuria katika mkutano huo.
????????????????????????????????????
Kutoka kulia ni Mzee Samwel Sitta Mjumbe wa kamati ya ushindi ya CCM na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita Ndugu Joseph Kasheku Msukuma pamoja na viongozi wengine wa CCM wakiwa katika mkutano huo.
????????????????????????????????????
Mzee Samwel Sitta Mjumbe wa Kamati ya Ushindi akiwahutubia wananchi wa Kahama katika mkutano wa kampeni uliofanyika mjini Kahama leo.
????????????????????????????????????
Mjumbe wa Kamati ya Ushindi ya CCM na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi akiwahutubia wananchi katika mkutano huo uliofanyika mjini Kahama.
????????????????????????????????????
Kundi la muziki la Yamoto Bandi likifanya vitu vyake jukwaani katika mkutano wa kampeni wa CCM uliofanyika  mjini Kahama na kuhutubiwa na Dk. John Pombe Magufuli.
????????????????????????????????????
13
Msanii Chege kutoka kundi la TMK Wanaume akitumbuiza katika mkutano huo.
14
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha  Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili katika uwanja wa CCM mjini Kahama kwa ajili ya kuhutubia mkutano wake wa kampeni huku akipokelewa na picha yake kubwa iliyochorwa.
15
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Ndugu Abdallah Bulembo akizungumza jambo na mgombea ubunge wa jimbo la Msalala Mh. Azekiel Maige wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika mjini Kahama.
16
Mzee Samwel Sitta Mjumbe wa kamati ya ushindi ya CCM na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita Ndugu Joseph Kasheku Msukuma pamoja na viongozi wengine wa CCM wakicheza muziki katika mkutano huo.
17
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha  Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi ambao ni wachimbaji wadogo na kuwasalimia wakati akiwa njiani kuelekea Ushetu
18
Wananchi wa Masumbwe wakimpokea Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha  Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli alipowasili kwenye mji huo na kufanya mkutano wa kampeni.
19
Ni kama wanasema Magufuli ni Dole tu.
20
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha  Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi katika mkutano wa kampeni katika mji wa Ushirombo wilaya ya Mbogwe mkoani Geita.
21 22
Wananchi wa Nyarugusu wakimsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha  Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli wakati akiwahutubia.
23 24
Ni shangwe tu kwa kumuona mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha  Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli.
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha  Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli akimnadi mgombea ubunge wa jimbo la Kahama kupitia CCM Ndugu Jumanne Kishimba.
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha  Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwanadi baadhi ya wagombea ubunge wa mkoa wa Shinyanga
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha  Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli  na mzee Samwel Sitta wakisakata Rhumba mara baada ya kuhutubia mkutano huo mjini Kahama.
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha  Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli akiondoka katika uwanja wa CCM Kahama mara baada ya kuhutubia mkutano huo
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top