Bado ile ishu ya daktari wa Chelsea na kocha wa timu hiyo Jose Mourinho inazidi kuingia katika headlines licha ya awali kuonekana kama imeisha vile. Baada ya daktari wa ChelseaEva Carneiro kusimamishwa kutoa huduma katika kikosi cha Chelsea kutokana na Mourinho kumlaumu, kwa sababu aliingia uwanjani kumtibia Eden Hazard wakati wa dakika za lala salama hivyo Mourinho aliona kama Eva Carneiro alichangia kuchelewesha muda.
Eva Carneiro ambaye anaripotiwa kuondoka rasmi Chelsea anamtuhumu kocha wa klabu hiyo Jose Mourinhokuwaalimfanyia ubaguzi wa kijinsia wakati akitoka uwanjani kumtibia Eden Hazard, stori kutoka 101greatgoals.com na moroccoworldnews.com zinaripoti kuwa ushaidi tayari umekabidhiwa kwa chama cha soka Uingereza FA, uchunguzi ulifanywa kwa kumtumia mtafsiri wa kireno na kubaini kuwa Mourinho alimfanyia ubaguzi wa kijinsia Eva Carneiro.
Eva Carneiro
ambaye toka aingie katika malumbano na kocha huyo wa kireno hajawahi
kukaa katika benchi na kuendelea kutoa huduma, Jumanne ya wiki hii
alitangaza rasmi kujiuzulu kuendelea kuwa daktari wa Chelsea, kosa alilofanya Mourinho litampelekea kufungiwa mechi tano kwa sababu ya kumtusi Eva Carneiro kwa kutumia lugha ya kireno “filha de puta” ambapo maana yake ni kuwa binti wa mwanamke muhuni.
Hii ni video ya tukio lenyewe
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
MICHEZO on Thursday, 24 September 2015
Post a Comment