Featured

Loading...


MAKANISA MATATU YACHOMWA MOTO BUKOBA

Kanisa lilivyoteketea kwa moto.
3
Kinanda kinchotumiwa na wanakwaya kwa ajili ya kupigia muziki kikiwa kimeungua.
4 5
Makanisa hayo baada ya kuteketezwa kwa moto.
6
Waumini wa makanisa hayo wakiwa wamekusanyika kushuhudia tukio hilo.
7
Mabaki ya kanisa baada ya kuteketezwa kwa moto.
8
Mmoja wa viongozi wa makanisa hayo akizungumza wa waandishi wa habari baada ya kukuta kanisa lake limechomwa moto.
WATU wasiojulikana wamechoma makanisa mtatu mjini Bukoba leo. Makanisa yaliyochomwa moto ni Pentecostal Assemblies of God (PAG) eneo la Buyekera, Living Water International na Evangelical Assemblies of God (EAGT) kata ya Kibeta yote ya mjini Bukoba.
Wachungaji na viongozi wa kiroho wa makanisa hayo wametoa wito kwa vyombo vya dola kuwabaini wahusika wa tukio hilo linaloashiria  uvunjifu wa amani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Augstine Oromi, amethbitisha kutokea kwa tukio hilo  na kusema kuwa atatoa tamko rasmi baadaye.
Matukio ya makanisa kuchomwa yameshamiri katika Manispaa ya Bukoba, ambapo hili ni tukio la sita la kuchoma moto nyumba za ibada kwa kipindi cha mwaka mmoja.
NA JAMII FORUM

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top