Mahakama
Kuu ya Tanzania Kanda ya Moshi leo imeifuta hukumu iliyomtia hatiani
Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe na kuamuru arejeshewe Sh1
milioni alizolipa kama faini.
Hukumu
hiyo ilitolewa leo na Jaji Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Aishiel Sumari
baada ya upande wa Jamhuri ukiongozwa na wakili mwandamizi wa Serikali,
Tamari Mndeme kukubali rufaa hiyo.
Mbali
na sababu za rufaa zilizowasilishwa mahakamani na wakili wa Mbowe,
Peter Kibatala, wakili Mndeme aliiongeza sababu zingine mbili
zinaonyesha mapungufu ya hukumu hiyo.
Wakili
Mndeme alimweleza Jaji kuwa shitaka lenyewe na maelezo ya shitaka
vilikuwa vinatofautiana hivyo kuathiri uhalali wa shitaka na uhalali wa
hukumu iliyomtia hatiani Mbowe.
Mbowe
alitozwa faini ya Sh1 milioni au kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela
kwa kosa la kumshambulia mwangalizi wa ndani wa uchaguzi mkuu wa 2010
katika wilaya ya Hai, Nassir Yamin.
Hukumu
hiyo iliyolalamikiwa na Mbowe kuwa haikumtendea haki kwani kesi hiyo
ilifunguliwa kisiasa, ilitolewa Juni 17 mwaka huu na Hakimu Mkazi wa
wilaya ya Hai wakati huo, Denis Mpelembwa.
Hata
hivyo, Mbowe ambaye pia ni mwenyekiti mwenza wa Umoja wa Katiba ya
Wananchi (Ukawa), na mgombea ubunge wa Jimbo la Hai alilipa faini hiyo
na kuachiwa huru na Mahakama ya wilaya ya Hai.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Monday, 28 September 2015
Post a Comment