Mfalme Salman wa Saudi Arabia ametoa agizo la kupitiwa upya kwa masuala
ya hija baada ya watu zaidi mia saba kufariki kutokana msongamano nje ya
msikiti wa Macca.
Watu wengine mia nane walijeruhiwa katika tukio hilo.Vifo hivyo ni vingi
kutokea katika hija kwa takriban miaka ishirini na tano iliyopita.
Maafa hayo yalitokea mahujaji takriban milioni mbili walipokuwa
wakishiriki moja ya kaida muhimu za mwisho katika ibada za hija.
Ndio mkasa mbaya zaidi kutokea wakati wa hija katika kipindi cha miaka
25. Mahujaji husafiri hadi Mina wakati wa kuhiji kurusha mawe saba
kwenye nguzo saba zijulikanazo kama Jamarat, ambazo huwakilisha shetani.
Nguzo hizo zimo katika eneo ambalo inaaminika Nabii Ibrahim alijaribiwa na shetani.
Watu walikuwa wakielekea eneo la kurushia mawe, na wengine wakitokea huko pale ghafla watu walipoanza kuanguka.
Kulikuwa na raia wa Nigeria, Niger, Chad na Senegal miongoni mwa mataifa
mengine. Idara ya ulinzi wa raia Saudi Arabia imesema mkanyagano huo
ulitokea pale kulipotokea "ongezeko la ghafla" la watu waliokuwa
wakielekea kwenye kwenye nguzo za kurushiwa mawe.
Waziri wa afya wa Saudi Arabia Khaled al-Falih amesema mkanyagano huo
ulitokea kwa sababu mahujaji walikosa kufuata maagizo. "Wengi wa
wahamiaji huenda bila kufuata ratiba iliyowekwa," amesema.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Friday, 25 September 2015
Post a Comment