Featured

Loading...


MPENZI WA MWIGIZAJI JIM CARREY AJIUA BAADA YA 'KUTEMWA'

Cathriona White  akiwa na aliyekuwa mpenzi wake ambaye ni mwigizaji maarufu wa filamu za Hollywood, Jim Carrey.
cathriona-white-2
Cathriona White enzi za uhai wake.JIM (1)
....Wakijiachia ufukweni.JIM (3)
Nyumba ulimokutwa mwili wa marehemu Cathriona White JIM CARREY
White (wa pili kushoto) wakati wa sherehe ya ndoa ya dada yake, Lisa (katikati), mama yao mzazi Brigid (kushoto) na kaka yao, James (kulia).
Los Angels, Marekani
CATHRIONA WHITE (28) mkazi wa visiwa vya Ireland, Uingereza,  anasadikiwa kujiua baada 'kutemwa' na mpenzi wake ambaye ni mwigizaji maarufu wa filamu za Hollywood, Jim Carrey.
Taarifa iliyotolewa na Jeshi la polisi mjini Los Angeles inasema kuwa usiku wa Jumatatu, marafiki wa Cathriona White walikuta mwili huo kwenye nyumba moja wakati wakimtafuta.
Cathriona anasadikiwa kufa baada ya kunywa madawa kupita kiasi, polisi wa hao wameripoti na kuongeza kwamba pembezoni mwa mwili wa Cathriona  palikutwa masalia ya vidonge vingi hivyo kuwafanya waamini kuwa pengine dawa hizo ndizo zilimtoa uhai.
Siku moja kabla ya kifo chake, Cathriona aliandika ujumbe kwenye mtandao wa Twitter kuwa, “Ninajiondoa kwenye mtandao wa Twitter, nimekuwa mwema kwa marafiki zangu na mpenzi wangu.”
Kwa upande wake,  mwigizaji Jim Carrey (53) alishtushwa na kuumizwa na taarifa za kifo cha aliyekuwa mpenzi wake huyo.  Aliandika ujumbe na kuwatumia ndugu zake kwenye baruapepe akisema, “Nimempoteza Cathriona, siwezi kuamini kilichotokea, nitafanya nini mimi?”
Wapenzi hao waliachana Alhamisi ya wiki jana wakati Cathriona alifariki juzi Jumatatu.
Cathriona na Carrey walianza uhusiano mwaka 2012, lakini baadaye walifarakana na kuachana baada ya miezi michache. Mwaka 2014 walirudiana wakaendelea na mahusiano kwa muda wa wiki mbili tu kabla ya kuachana tena. Mei mwaka huu marafiki hao walirudiana tena kwa mara nyingine ndipo walipokuja kuachana tena wiki jana Alhamisi.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top