Featured

Loading...


Ajali ya Basi la Ngorika yaua askari wa JWTZ Na Kujeruhi wengine 33


Watu wawili wamefariki dunia akiwemo askari wa Jeshi la wananchi (JWTZ) na wengine 33 kujeruhiwa baada ya basi mali ya kampuni ya Ngorika kuigonga kwa mbele Toyota Costa eneo la Misugusugu mjini Kibaha .

Ajali hiyo imetokea majira ya saa 1.30 asubuhi leo wakati basi hilo likitokea Dar esalaam kwenda Arusha ambapo ilipofika eneo hilo dereva alihama upande wake wa njia kuyapita magari mengine yaliyokua mbele yake bila tahadhali hivyo kwenda kugongana uso kwa uso na costa iliyokua ikitokea Miono Bagamoyo kwenda Dar esalaam.

Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Jafari Mohamed amethibitisha tukio hilo na kutaja waliokufa ni Rutta Saimon mwalimu wa shule ya msingi Mwambao Bagamoyo na Peter Maro askari wa JWTZ na kwamba anasadikiwa kuwa ni wa Kikosi cha Jeshi la Nyumbu Kibaha na wote walikua abiria katika Costa hiyo.

Kamanda Jafari amesema kati ya majeruhi hao 33, wanne hali zao ni mbaya kutokana na kuvunjika sehemu mbalimbali za mwili.

"Majeruhi wote wa ajali hiyo walipelekwa Tumbi na walitibiwa na wengi wao wameruhusiwa kuendelea na safari yao lakini hao wanne ndiyo wamelazimika kulazwa hapo kwa matibabu zaidi kutokana na hali zao kuwa mbaya maana wamevunjika sehemu mbalimbali za mwili, na pia miili ya marehemu imehifadhiwa hospitalini humo kusubiri ndugu"amesema Kamanda Jafari.

TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright JICHO LETU
Back To Top