Watu
wawili wamefariki dunia akiwemo askari wa Jeshi la wananchi (JWTZ) na
wengine 33 kujeruhiwa baada ya basi mali ya kampuni ya Ngorika kuigonga
kwa mbele Toyota Costa eneo la Misugusugu mjini Kibaha .
Ajali
hiyo imetokea majira ya saa 1.30 asubuhi leo wakati basi hilo likitokea
Dar esalaam kwenda Arusha ambapo ilipofika eneo hilo dereva alihama
upande wake wa njia kuyapita magari mengine yaliyokua mbele yake bila
tahadhali hivyo kwenda kugongana uso kwa uso na costa iliyokua ikitokea
Miono Bagamoyo kwenda Dar esalaam.
Kamanda
wa Polisi mkoani Pwani, Jafari Mohamed amethibitisha tukio hilo na
kutaja waliokufa ni Rutta Saimon mwalimu wa shule ya msingi Mwambao
Bagamoyo na Peter Maro askari wa JWTZ na kwamba anasadikiwa kuwa ni wa
Kikosi cha Jeshi la Nyumbu Kibaha na wote walikua abiria katika Costa
hiyo.
Kamanda Jafari amesema kati ya majeruhi hao 33, wanne hali zao ni mbaya kutokana na kuvunjika sehemu mbalimbali za mwili.
"Majeruhi
wote wa ajali hiyo walipelekwa Tumbi na walitibiwa na wengi wao
wameruhusiwa kuendelea na safari yao lakini hao wanne ndiyo wamelazimika
kulazwa hapo kwa matibabu zaidi kutokana na hali zao kuwa mbaya maana
wamevunjika sehemu mbalimbali za mwili, na pia miili ya marehemu
imehifadhiwa hospitalini humo kusubiri ndugu"amesema Kamanda Jafari.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
HABARI
on Tuesday, 29 September 2015
Post a Comment