Kamati ya masaa 72 ya uendeshaji wa Ligi Kuu iliyokutana leo kupitia
ripoti mbalimbali za michezo iliyochezwa ya Ligi Kuu na Ligi Daraja la
Kwanza nchini imemfungia mchezji Juma Nyoso wa timu ya Mbeya City
kucheza mpira wa miguu kwa kipindi cha miaka miwili na faini ya shilingi
milioni mbili (2,000,000) kufutia kitendo cha udhalilishaji
alichomfanyia mchezaji wa Azam FC John Bocco.
Nyoso alifanya kitendo hicho katika mchezo no namba 32 wa VPL kati ya
Azam FC na Mbeya City uliofanyika kwenye uwanja wa Chamazi, Dar es
Salaam, kutokana na kuwa tabia ya kufanya vitendo hivyo vya utovu wa
nidhamu mara kwa mara kwenye michezo ya Ligi Kuu.
TOA MAONI YAKO HPO CHN1 KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU ...BASI BOFYA LIKE HPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in
media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for
stories on development issues. Journalists who produce the best stories
published or broadcasted in media that reach African audiences, will win
a major international reporting trip.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
MICHEZO
on Tuesday, 29 September 2015
Post a Comment